- Get link
- X
- Other Apps
Posts
MAMBO NILIYOJIFUNZA KATIKA KITABU CHA BLESSED IN DARK PLACES.BY Joel Osteen.
- Get link
- X
- Other Apps
katika maisha watu huwa kuna wakati wanapitia vipindi vigumu.Katika vipindi vigumu ndio wakati ambao mtu huhisi kwamba dunia haimtaki tena na Mungu pia amemsahau.Pia wakati huu ndio wakati ambao mtu huhisi kwamba yeye ndo basi tena,na hawezi tena kurudi katika maisha yake ya mwanzo. Ila ukweli hauko hivyo,kwani ni katika vipindi vigumu ndipo hutokea washindi.Watu wengi waliofanikiwa katika jambo fulani,ukifuatilia utakuta kuwa walipitishwa kwanza kwenye wakati mgumu ndio yakapatikana matokeo ambayo wengi tunayaona.Mara nyingi tunaangalia matokeo ndio maana tunahisi fulani ana bahati na wewe huna,lakini nyuma ya bahati kuna mchakato amepitia. Mwandishi Joel Osteen ameelezea mambo makubwa sana katika kitabu chake cha Blessed in the Dark Places.Haya hapa ni baadhi tu ya mambo niliyojifunza kwenye kitabu hicho kutoka ukurasa wa 1-45. 1 .Usilalamike sana unapopitia wakati mgumu kwenye maisha yako,huo wakati mgumu ndio Mungu huutumia kupitisha neema zake kwako. Kwenye wakati huu ...
SARATANI YA MATITI
- Get link
- X
- Other Apps
UTANGULIZI Tunaishi kwenye ulimwengu ambao una magonjwa mbali mbali ya saratani, lakini saratani ya matiti inaongoza kwa kuathiri wanawake wengi zaidi kwa sasa. Visababishi (causes) vya saratani havijajulika bado hivyo tafiti zinaendelea ili kubaini. Je saratani ya matiti ni ugonjwa gani? Dalili zake ni zipi? Imeathiri kiasi gani cha watu kwa miaka ya hivi karibuni? Jinsi gani ya kujikinga na saratani ya matiti?, je kuna tiba ya saratani ya matiti? Inaweza kuwapata wanaume pia? je kuna namna ya kujichunguza kubaini kama una saratani ya matiti? SARATANI YA MATITI Saratani ya ni matokeo ya mgawanyiko usio wa kawaida wa seli (cell) za mwili (matiti/titi) ambao huchangiwa na mabadiriko ya vinasaba (DNA) kisha seli zisizokua za kawaida huzalishwa, seli mpya za saratani zilizozalishwa huweza kuathiri seli zingnine (healthy cell) hivyo ugonjwa kusambaa au kujirundika sehemu moja. je wanaume pia wanaweza kupata saratani ya matiti? • Jibu ni ndiyo, pia mwaume anaweza kupata saratani ya...
Usiruhusu Watu Watembee Kwenye kichwa chako!!
- Get link
- X
- Other Apps
Huwenda upo kwenye wakati mgumu, au ulishapitia kipindi kigumu sana katika Maisha yako, na yote hayo kuna watu wameyasababisha na ukahisi una kila sababu ya kuwachukia watu hao. Nikuambie rafiki, hutakiwi kumchukia mtu yeyote kama Kweli uko makini na Maisha yako. Hata Kama Alitaka kukuuwa akakukosa, bado huna sababu ya kumchukia. Hii nikwasabu, unapomchukia mtu unamruhusu atembee kwenye akili yako muda wote.na huo ni uamuzi mbaya kabisa, kumbuka akili yako ina uwezo mkubwa Sana Mungu aliyouweka ndani yako.Unapowaruhusu watu watembee kwenye akili yako wanaharibu huu uwezo mkubwa uliyondani yako.uwezo wenye nguvu ya ajabu ya kuhamisha milima. Napia unajiweka dhaifu unapomchukia mtu.ni Sawa nakumbeba halafu huna unakompeleka,jitue basi huo mzigo ili uwe huru. Hebu Jaribu kuangalia Vitu mwanadam alivyogundua na kutengeneza, ukiangalia ndege, Meli, Majengo marefu kabisa nk, vyote vilianzia kwenye akili iliyotulizana,then vikawa umbo halisi.Usifanye Kosa kuruhusu watu waharibu uwezo Huu ...
Uchambuzi Wa kitabu;MAMBO 12 Niliyojifunza katika kitabu cha THE BOOK OF HAPPINESS.
- Get link
- X
- Other Apps

Kitu ambacho b,dam anapigania sana katika Maisha yake ni kuwa na Maisha yaliyo nafuraha.kila mtu Anapenda kuwa na furaha katika Maisha yake. Tunatafuta kazi, tunatafuta watoto na tunafanya mengi ila tukiamini yatatimiza hitajio la moyo wetu nakutuletea furaha.Baada yakujua kwamba tunahitaji furaha, shida inakuja kwamba tunaipataje iyo furaha ya Kweli? Ndipo hapo tunapofanya Vitu mbali mbali tukiamini vitatuletea furaha. Na ile furaha tunayotarajia mwisho wa sku hatuipati kwakuwa hatufuati ile misingi sahihi ambayo ndio hutupelekea kuwa na furaha katika Maisha yetu. Ndipo mwandishi Wa kitabu, The book of happiness, by Heather Summers & Anne Watson walivyoamua kutuweka wazi juu ya mambo mbali mbali kuhusu furaha. Haya Hapa ni machache katika niliyojifunza katika kitabu hiki. 1 .Mazingira yanayotuzunguka ni moja ya Vitu ambavyo vinaweza kutupa furaha au kutunyima furaha. Ni hivi, Kama unaishi kwenye nyumba ambayo huipendi, unaishi maeneo ambayo huyapendi,unafanya kazi ambayo...
Tafakuri ya Maisha.
- Get link
- X
- Other Apps
Kuna wakati katika Maisha unaweza hisi kwamba wewe ndio mwenye matatizo makubwa kuliko watu wote duniani.mpaka unafikia hatua yakujiuliza maswali magumu kwamba Kwanini wewe tu siku zote? Mbona matatizo hayaishi likitoka hili linakuja hili? Nikuambie rafiki yangu,wala huna matatizo makubwa kiasi hicho,tatizo letu kubwa ni kwamba tunaangalia zaidi matatizo yetu kuliko Neema tulizopewa. Na hii nikwasababu tunahisi labda tunastahili zaidi kuwa nazo ndio maana hatuzipi umuhimu wake. Labda umetafuta ajira Kwa muda mrefu bila mafanikio, hilo bado si tatizo kubwa kwako,hivi Unajua kuna Mtu hana miguu Wala mikono lakini bado anafurahia Maisha yake! Kwakuwa anaaamini ana sababu nyingi zakufurahi kuliko kuhuzunika. Wakati wewe unafikiri una matatizo makubwa kwakuwa unaumwa wiki ya Pili sasa. Kuna mwingine kalala kitandani mwaka mzima sasa na hajui mustakabali Wa afya yake. Kuna mwingine Kaambiwa atatumia dawa Maisha yake yote kutokana na maradhi yakudumu aliyo nayo. Kama una miguu na mikono ...