Posts

Showing posts from April 1, 2018

ISHUKURU SANA JANA YAKO

"Use the lessons you have learned from your past to rise to a whole new level of awareness and enlightenments"Robin Sharma. Habari rafiki!kwanza kabisa hatuna budi kumshukuru Yule aliyetuwezesha kuiona siku hii mpya ambaye ni Mwenyez Mungu Muumba mbingu na ardhi.Hatuna budi pia kuitumia siku hii kuongeza thaman katika Maisha yetu,kwani ni wengi walitamani wawepo ila hawapo. Karibu sana rafiki.hakika Jana yetu imetawaliwa na mambo Mengi yakiwemo mabonde na milima, makosa na Maudhi pamoja na usaliti mbali mbali lakini yalishapita na Leo tuko katika wakati Wa sasa.Jana yetu ina nafasi kubwa ya kujenga au kuharibu maisha yetu ya sasa.Pale utakapoanza kujilaumu Kwa makosa ambayo uliyafanya na kukupa matokeo mabaya na kukupa wakati mgumu,pale utakapoanza kuwalaumu watu Kwa Yale waliokufanyia mabaya na kujipa sababu kuwa wao wamekuharibia maisha,basi umeamua kupoteze nguvu na muda wako wa sasa kwenye wakati uliopita.Na huo ni uamuzi mbaya Sana katika Maisha yako.Uamuzi sahihi ni ...

Mambo niliyojifunza katika kitabu cha THE COMPOUND EFFECT cha mwandishi DARREN HARDY.

Habari ndugu msomaji wa makala hii! karibu tuendelee kujifunza ili kuweza kwenda sawa na maish . a ya sasa yasiokwisha changamoto. As long as you live,keep learning how to live-Lucius Annaeus Senneca.Mwanafalsafa huyu anatuambia"kwakuwa tunaishi,basi hatuna budi kujifunza namna ya kuishi" Maisha uliyonayo sasa ni matokeo ya mambo mbalimbali madogo madogo uliyoyafanya huko nyuma,maisha   yoyote yale uliyo nayo kwa sasa,ikiwa ni mazuri   au mbaya,bas jua ni matokeo. Twende moja kwa moja   rafiki tukaangazie yale niliyojifunza kwenye kitabu tajwa hapo juu;   Hatua ndogo na makini unazochukua katika maisha yako zinakupelekea katika mafanikio makubwa.Ni ukweli usiopingika kuwa mafanikio ni matokeo,sasa ili upate matokeo mazuri kuna mambo mengi unayotakiwa kuyafanya ili uweze kupata matokeo hayo,na mambo hayo wala si makubwa sana ,bali yanafanywa kwa muda mrefu mno mpaka yanakuwa utamaduni au tabia na mwisho huleta matokeo makubwa.   Kufanya kazi...

TATIZO SIO KIFO, TATIZO NI KILE KINACHOKUFA NDAN YETU TUNGALI HAI.

Habar ndugu msomaj wa makala hii!,karibu tuendelee kujifunza ili kuweza kwenda Sawa na Maisha yasasa yasiokwisha changamoto. Binadam tofaut na viumbe wengine, kuna uweze mkubwa Sana uko ndan yetu.Uthibitisho wa hilo upo hasa kwenye Mazingira yanayotuzunguka, unapojaribu kutazama Vitu Kwa jicho la fikra, Utagundua Vitu vya ajabu Sana binadam kafanya.vitu hivyo vimeongeza thaman kubwa katika Dunia na Maisha yamekuwa bora sana siku hadi siku.Sasa hivi Unaweza Amka asubuh ukamsalimia mama yako kijijini au ndgu yako ambaye Yuko Marekani ilihali uko bado kitandan Kwa njia ya simu tu either call, Whatsup au hata SMS yakawaida. Kwa kutazama Kawaida Unaweza ona hili ni jambo la Kawaida tu kwakuwa umeshalizoea, ila Kwa Hakika ni kazi kubwa Sana imefanywa mpaka wewe unafurahia Maisha ivyo.watu wamekesha, wamelala njaa mpaka wakagundua simu Kama njia ya mawasiliano. Ukitembea mjini utaona majengo marefu kupita Kias huwez amini kuwa bi/dam Ndo kajenga. Ndege zinatembea angani, meli zenye mizigo y...